


DU!!! JAMAA ANAJUA HADI KUSHONA

USIMTANIE ALISHAWAHI KUWA BONDIA



HII TUZO ALIYEZAWADIWA (TUZO YA AMANI)

Nelson Rolihlahla Mandera alizaliwa tarehe 18 Julai,mwaka 1918. Ni Rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia Nchini Afrika Kusini. Alikuwa Mwanasheria na mwanachama wa ANC aliyepinga siasa ya Apartheid katika Afrika ya Kusini. Mandera alitumikia kifungo cha maisha kwa miaka 27,kutokana na harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi.
Alifungwa katika kisiwa cha Robben, Baada ya kuachiwa huru mwaka 1990 alianzisha sera ya maridhiano. Mwaka 1993 pamoja na Frederik Willem De Klerk walikuwa washindi wa tuzo ya Nobel ya Aman
YAJUE ZAIDI MAISHA YAKE KWA KUBONYEZA HII WEBSITE:-
No comments:
Post a Comment