HIVI SASA NI SAA

TAREHE

Monday, December 8, 2008

HISTORIA YA NCHI YA RWANDA (JE WAJUA WATUTSI KWA ASILI NI WAFUGAJI NA WAHUTU NI WAKULIMA)

RAMANI YA AFRIKA IKIONYESHA NCHI YA RWANDA ILIPO

ENEO KUBWA LILOJAZWA RANGI NI NCHI YA RWANDA

WATU WA JAMII YA WATUTSI WAKICHEZA NGOMA YAO YA JADI


AINA YA NG'OMBE WATUTSI WANAOFUGA

MAZAO YA WAHUTU

Rwanda ilikuwa eneo penye utawala wa Kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la ziwa la Muhazi. Watawala wenye cheo cha '' MWANI '' kutoka kikundi cha wafugaji (WATUTSI) walisambaa eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 BK hadi hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa kihutu na wavindaji watwaa

IJUE KIUNDANI RWANDA KWA KUBONYEZA HAPA CHINI

No comments: