HIVI SASA NI SAA

TAREHE

Friday, August 27, 2010

HATA "MAJUU" KUNA KUNGUNI KIBAO NG'WANAWANE !!!






Marekani sasa inakumbwa na tatizo kubwa la kunguni na Jiji la New York ndilo linaongoza kwa kuwa na kunguni wengi likifuatiwa na Philadelphia, Detroit, Cincinnati, na Chicago. Kwa majiji mengine yanayoongoza katika sakata hili.Wataalamu wengi wanasema kwamba kunguni sasa limekuwa tatizo la kitaifa kwa Marekani na serikali kuu ya shirikisho imeshaombwa kusaidia katika baadhi ya sehemu zilizoathirika zaidi.


A leading pest control company has released a list of the 15 most bedbug-infested cities, and New York, Philadelphia and Detroit have scratched their way to the top.

Terminix released its report Tuesday, basing it on an analysis of call volume to the Memphis, Tenn.-based company's 350 service centers.

Bedbugs can be found in mattresses, furniture and clothing, and they feed off animal and human blood. Insect scientists say bedbugs are appearing on a scale not seen since before World War II. High-traffic areas such as hotels, airplanes and cruise ships are especially prone to infestations.

Ohio has three cities in the top 10 – Cincinnati is fourth, Columbus is seventh and Dayton is eighth.

The 2010 most bedbug-infested cities include:

1. New York
2. Philadelphia
3. Detroit
4. Cincinnati
5. Chicago
6. Denver
7. Columbus, Ohio
8. Dayton, Ohio
9. Washington, D.C.
10. Los Angeles
11. Boston
12. Indianapolis
13. Louisville, Ky.
14. Cleveland
15. Minneapolis, Minn.

1 comment:

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

http://matondo.blogspot.com/2010/08/usikonde-hata-majuu-kuna-kunguni-kibao.html